Sitakusahau Angel....sehemu ya tatu

Admin
By -
1 minute read
0

Ilikuwa  safari ya Siku mbili ambapo alifanikiwa kufika katika mji wa halale nchini Zimbabwe

Akiwa hafahamiani na MTU yoyote kijana Steve ikabidi atafute mahala ambapo anaweza kupata chakula maana alikuwa mida  ya saa  tisa  alahasili

Kipindi anawaza wapi atapata chakula na ni chakula gani maana yupo nchi  ya mbali alijitokeza kijana mmoja ambae akamuuliza Steve "are you from Tanzania?" Steve akamjibu "yes iam from Tanzania" baada ya kujibizana hivyo ndipo wakatambuana kuwa wote ni watanzania

Kilicho fuata ni maongezi ya hapa na pale Steve akamwambia yule kijana nipo safarini  naelekea Afrika ya kusini nakwenda  kutafuta maisha yule kijana akamjibu unamakubaliano na mtu  yoyote kule? Steve akamjibu hapana

Kijana Huyo akamwambia Steve umefanya maamuzi magumu kwenda sehemu mbali na nyumbani ukiwa haumfahamu mtu  yoyote Steve akamjibu kuwa hakuwa na jinsi ni lazma afanye hivyo

Baada ya Massa machache kijana huyo  aitwae James akamsaidia Steve kupata tiketi ya kusafiri kuelekea Afrika ya kusini kwa njia ya basi kupitia mpaka wa beitbridge nimpaka  unao tenganisha nchi  ya Zimbabwe na south Afrika kupitia mto  Limpopo Steve alianza safari Zimbabwe saa  mbili usiku kuelekea Afrika kusini

Itaendelea.....

Mtunzi:Steve christian
0713861567

Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)