SITAKUSAHAU ANGEL....SEHEMU YA PILI

Admin
By -
1 minute read
0

Baada ya kutoka garage kwa mjomba wake Steven akaanza mipango ya kutimiza ndoto  yake ya kufika barani ulaya hususani nchini uingereza au America

Alijikusanya na kufanikiwa kupata pesa ya nauli na pesa ya matumizi machache ili kukamilisha safari yake ya kufika barani ulaya

Hatua ya kwanza ilikuwa  ni kwenda kuomba VISA kwenye ubarozi wa uingereza anbako alitakiwa kufanyiwa mahojiano na bahati mbaya hakufanikiwa kupata vigezo vya kupatiwa VISA

Baada ya kufeli alikaa chini  na kuwaza ndipo akapata wazo jipya kuwa aende nchini Afrika ya kusini baada ya kushindwa kupata vibali vya kuingia uingereza

Aliamua kwenda Afrika ya kusini kwakuwa RAIA wa Tanzania wanaingia bila vikwazo nchini humo  ilimladi wawe  na pasi  ya kusafiria tuu

Akiwa hafahamiani na mtu  yoyote nchini Afrika ya kusini kijana Steve aliamua kuchukua uamuzi  wa kwenda huko.

Alianza safari ya kwenda nchini Afrika ya kusini kwa usafiri wa basi LA kampuni ya "Takwa" ambalo linafanya safari za Tanzania mpaka Halale nchini Zimbabwe kupitia mpaka wa tunduma ......

INAENDELEA...

Mtunzi:Steve christian
0713861567

Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)