MWANAUME AKAA AIRPORT SIKU KUMI AKIMNGOJA MWANAMKE ALIYE FAHAMIANA NAE KWENYE MTANDAO

Admin
By -
0
Miongoni mwa matukio yaliyo wai kushangaza watu wengu ni hili la mwanaume kutoka uholanzi

mwanaume kutoka uholanzi aliye fahamika kwa jina la Alexander peter miaka 41  akaa uwanja wa ndege kwa siku kumi akimsubili mwanamke aliye fahamiana nae mtandaoni
mwanaume huyo alisafiri kutoka uholanzi mpaka kwenye mji wa Shangsh hanua nchini china kwaajili ya kukutana na mlembo aliye kutana nae mtandaoni ambae hakutokea kama walivyo kubaliana
mwanaume huyo alikaa kwa muda wa siku kumi mpaka akaathilika kiafya ndipo kituo kimoja cha TV kili fanikiwa kumlipoti mwanaume huyo ambae alikaa uwanja wa ndege kwasiku kumi na baadae kupata tatizo kiafya

baada ya TV kulipoti mwanamke huyo anae itwa Zhang alijitokeza na kusema alikuwa akifanyiwa upasuaji ndyo maana akazima simu na pia hakuamini kama mwanamume huyo anaweza kuja kweli
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)