MTOTO ATEKETEA KWA MOTO.BAADA YA NYUMBA KUUNGUA

Admin
By -
0
Moto wasababisha kifo cha mtoto wa kike mkoani shinyanga

mtoto aliye tambulika kwa jina la Brightness Barnabas mwenye umri wa miaka miwili amefariki baada ya nyumba yao kuwaka moto

kamanda wa polisi mkoani shinyanga Simon Haule amesibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema mtoto huyo alilala ndani ghafla ilitokea hitilafu ya umeme iliyo pelekea nyumba kuwaka moto

moto huo uliteketeza nyumba pamoja na mtoto huyo ambae alikuwa amelala ndani ya nyumba hiyo
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)