KONTE HUENDA AKAMWACHA DIEGO COSTA

Admin
By -
0

kocha wa chelsea huenda akamwacha mshambuliaji diego costa

akiongea na waandishi wa habari mshambuliaji diego costa amesema kocha huyo kamtumia ujumbe wa simu kuwa huenda asiwe chaguo lake tena

kocha huyo saivi yupo mbioni kuwania saini ya aliyekuwa mchezaji wa timu hiyo lomelu lukaku ambae anawaniwa pia na man united


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)