SERIKALI HAITAGAWA CHAKULA KWA WAZEMBE

Admin
By -
0

Makamu wa raisi.mama samia hassani kasema serikali haitagawa chakula kwa wazembe

aliongea hayo alipokuwa na mkutano wa hadhara mkoani mara alisisitiza watanzania kujikita katika kilimo ili kunipatia chakula kwaajili ya maitaji ya kila sku

mama samia alisema watagawa chakula kwa watu wale tuu watakao kumbwa na majanga kama ukame au mazao yao kuharibika kwa mvua na siyo kwa wazembe

alisema kuna watu wanakaa vijiweni wanatarajia chakula cha msaada jambo ambalo halakuja kuotokea kila mtu afanye kazi


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)