KICHWA CHA MWANDISHI WA HABARI CHAOKOTWA BAHARINI

Kichwa cha mwandishi wa habari aliye potea tangu agost 10 kimeokotwa baharini nchini sweden

mwandishi huyo wa habari Kim Wall alionekana mala ya mwisho mwezi ulio pita na hakuonekana tena hatua iliyo leta taharuki

waogeleaji waliokota mfuko ambao ndani ulikuwa na kichwa na viungo vingine vya mwana habari huyo mwenye miaka 30

mwanaume mmoja ambae alikuwa nae mala ya mwisho amekana kufanya mauaji ya mwandishi huyo ambae mpaka sasa haijulikani kwanini kauawa

Post a Comment

Previous Post Next Post