Mbunge wa jimbo arumelu Joshua nasari jana aliwasilisha ushahidi wake mwingine TAKUKURU kuhusu tuhuma.za kutoa rushwa zinazo fanywa.na CCM
mbunge huyo aliwasili ofisini hapo majira ya saa saba mchana na kuondoka majira ya saa kumi na moja
baada ya kutoka maafisa wa TAKUKURU waliwafukuza wana habari na hawa kuruhusu mbunge huyo aongee nao maeneo hayo
kipindi anatoka alisindikizwa na.mmoja wa maafisa wa takukuru mpaka kwenye gari lake na kuhakikisha ameondoka kabisa
lakini yeye aliwataka wana habari kuja sehemu nyingine ili aongee nao kuhusu ujio wake
akiongea na wana habari alisema amekaa kwa muda mrefu ni kutokana na ushahidi wake kuwa mpana
alisema amewasilisha ushahidi wa kutosha na amesha fungua jarada la kesi hiyo na majukumu mengine kawaachia wao TAKUKURU wafuate taratibu zao
mbunge huyo aliwasili ofisini hapo majira ya saa saba mchana na kuondoka majira ya saa kumi na moja
baada ya kutoka maafisa wa TAKUKURU waliwafukuza wana habari na hawa kuruhusu mbunge huyo aongee nao maeneo hayo
kipindi anatoka alisindikizwa na.mmoja wa maafisa wa takukuru mpaka kwenye gari lake na kuhakikisha ameondoka kabisa
lakini yeye aliwataka wana habari kuja sehemu nyingine ili aongee nao kuhusu ujio wake
akiongea na wana habari alisema amekaa kwa muda mrefu ni kutokana na ushahidi wake kuwa mpana
alisema amewasilisha ushahidi wa kutosha na amesha fungua jarada la kesi hiyo na majukumu mengine kawaachia wao TAKUKURU wafuate taratibu zao
Tags
Siasa