Mbunge wa jimbo la Tarime vijijini kupitia chadema John heche asema bola vyama vya upinzani vifutwe
Heche akihojiwa na televisheni alisema kutokana na hali iliyopo ni bora kufuta vyama vya upinzani kwakuwa wapinzani wamekuwa kama wana fanya uhaini
alisema kazi ya upinzani ni kupinga lakini wanapo pinga huchukuliwa kama vile wanafanya uhaini kwenye nchi yao
alisema kupinga kwao kuna wapelekea kuonekana wao ni wapinzani wenye makosa hatua inayo fanya wanakosa amani wao na familia zao na usalama wao upo hatarini
kama wameona hawa wezi kukaa na upinzani wafute vyama vya upinzani kusudi ieleweke kuliko kuwanyima uhuru wapinzani
Heche akihojiwa na televisheni alisema kutokana na hali iliyopo ni bora kufuta vyama vya upinzani kwakuwa wapinzani wamekuwa kama wana fanya uhaini
alisema kazi ya upinzani ni kupinga lakini wanapo pinga huchukuliwa kama vile wanafanya uhaini kwenye nchi yao
alisema kupinga kwao kuna wapelekea kuonekana wao ni wapinzani wenye makosa hatua inayo fanya wanakosa amani wao na familia zao na usalama wao upo hatarini
kama wameona hawa wezi kukaa na upinzani wafute vyama vya upinzani kusudi ieleweke kuliko kuwanyima uhuru wapinzani
Tags
Siasa