Mkurugenzi wa mafunzo na uratibu kanda wa chadema Benson kigaila alilalamikia jeshi la polisi kwa kuto mchukulia hatua kijana anae ongea maneno ya hovyo kwenye mitandao kuhusu Tundu lissu
benson amesema kijana huyo kupitia mitandao ya kijamii amekuwa akitoa lugha za vitisho juu ya uhai wa tundu lissu
amesema kijana huyo bado anasema kuwa walitenda kosa dodoma sahizi hawata tenda tena lazma wammalizie tundu lisu
Benson amesema mpaka sasa hawajui huyo kijana ni mwendawazimu au anajielewa ana fahamu kuhusu kushambuliwa Tundu lissu
chaajabu polisi hawaja mkamata na hatujui kwa nini hawaja mkamata wakati ana hatarisha uhai wa mtu hadharani
benson amesema kijana huyo kupitia mitandao ya kijamii amekuwa akitoa lugha za vitisho juu ya uhai wa tundu lissu
amesema kijana huyo bado anasema kuwa walitenda kosa dodoma sahizi hawata tenda tena lazma wammalizie tundu lisu
Benson amesema mpaka sasa hawajui huyo kijana ni mwendawazimu au anajielewa ana fahamu kuhusu kushambuliwa Tundu lissu
chaajabu polisi hawaja mkamata na hatujui kwa nini hawaja mkamata wakati ana hatarisha uhai wa mtu hadharani
Tags
Siasa