msanii Diamond azidi kupasua anga la kimataifa baada ya kufanya collabo na msanii wa hip hop nchini marekani Rick ross
wasanii hao wamesha fanya audio na sasa wana fanya video ya nyimbo yao ambayo bado hawaja weka hadharani jina lake
kupitia mtandao wa instagram babu tale amesibitisha kuwepo kwa kolabo hiyo ambayo video yake wana fanyia miami frolida
hii inakuja baada ya kuachia ngoma ya halelujah ambayo aliwashilikisha wana muziki wa rege wa nao milikiwa na msanii kutoka jamaica Morgan hertage
wasanii hao wamesha fanya audio na sasa wana fanya video ya nyimbo yao ambayo bado hawaja weka hadharani jina lake
kupitia mtandao wa instagram babu tale amesibitisha kuwepo kwa kolabo hiyo ambayo video yake wana fanyia miami frolida
hii inakuja baada ya kuachia ngoma ya halelujah ambayo aliwashilikisha wana muziki wa rege wa nao milikiwa na msanii kutoka jamaica Morgan hertage
Tags
burudani
