Leo nimeona nikusogezee ujanja huu mpya ambao pengine huku ujua kabla kipindi unatumia Whatsap
tumezoea kuwa mtu ukimtumia ujumbe kwenye whatsap na akisoma huwa unajua kuwa amesoma kwa kuona vitiki viwili vya blue na akiww haja soma huwa kitiki kimoja cheupe
sasa kama kuna mtu alikuwa anakutumia ujumbe na hauitaji kumjibu na hauitaji ajue kama umeusoma fanya hivi
utakapo ona ujumbe wa whatsap.umeingia wa yule ambae hautaji ajue kama umesoma jumbe zake fanya hivi
jumbe zake zikisha ingia wewe kabla ya kufungua nenda kwenye profile na ubadiri weka AIRPLANE MODE na ukisha weka wewe nenda kasome mesage na baadae weka kawaida yaani toa hiyo AIRPLANE MODE kwake itaonesha kuwa hujasoma jumbe zake na hazita onesha tiki za blue kamwe
hii ni njia nyepesi tuu ambayo hukuwai kuijua au pengine ulisha ijua kabla
tumezoea kuwa mtu ukimtumia ujumbe kwenye whatsap na akisoma huwa unajua kuwa amesoma kwa kuona vitiki viwili vya blue na akiww haja soma huwa kitiki kimoja cheupe
sasa kama kuna mtu alikuwa anakutumia ujumbe na hauitaji kumjibu na hauitaji ajue kama umeusoma fanya hivi
utakapo ona ujumbe wa whatsap.umeingia wa yule ambae hautaji ajue kama umesoma jumbe zake fanya hivi
jumbe zake zikisha ingia wewe kabla ya kufungua nenda kwenye profile na ubadiri weka AIRPLANE MODE na ukisha weka wewe nenda kasome mesage na baadae weka kawaida yaani toa hiyo AIRPLANE MODE kwake itaonesha kuwa hujasoma jumbe zake na hazita onesha tiki za blue kamwe
hii ni njia nyepesi tuu ambayo hukuwai kuijua au pengine ulisha ijua kabla
Tags
Technology