Martina big raia wa ujerumani ametumia zaidi ya dola elfu hamsini kubadiri rangi kuwa mweusi
huku wanawake wakitamani kuwa weupe yeye alitamani saana kuwa kama wanavyo onekana wanawake wa kiafrika
huku wanawake wakitamani kuwa weupe yeye alitamani saana kuwa kama wanavyo onekana wanawake wa kiafrika
picha hii juu ni kabla haja badiri rangi
anasema alikuwa akilala usingizi alikuwa akiota amekuwa mweusi ndiyo maana akaamua kutumia mamilioni ya pesa kubadiri rangi yake na kuwa mweusi amesema alikuwa akivutiwa na wasanii weusi kama Whitney huston ambao walikuwa wakionekana weusi
pia amefanya upasuaji kuongeza matiti yake ili avunje rekodi maana alisha vunja rekodi ya kuwa mwanamke mwenye matiti makubwa uraya sasa anataka kuvunja rekodi ya mwanamke mweusi mwenye matiti makubwa zaidi afrika
Tags
burudani