Mwasibu wa shele ya sekondari ya st joseph Elizabeth asenga apandishwa kizimbani baada ya kumwita raisi "kiliza"
mwasibu huyo alipandishwa katika mahakama ya kisutu mjini dar es salaam ambapo hakimu Haruna shaid alimsomea mashitaka yake
baada ya kujilizisha na ushahidi hakimu alimpa hukumu ya jela mwaka mmoja au kulipa faini ya shilingi milioni tano ambapo mtuhumiwa alilipa na kuachiwa huru
mwasibu huyo alipandishwa katika mahakama ya kisutu mjini dar es salaam ambapo hakimu Haruna shaid alimsomea mashitaka yake
baada ya kujilizisha na ushahidi hakimu alimpa hukumu ya jela mwaka mmoja au kulipa faini ya shilingi milioni tano ambapo mtuhumiwa alilipa na kuachiwa huru
mtuhumiwa huyo ana daiwa kusema maneno hayo kwenye group la whatsap ambapi alisema HAKUNA RAISI KILAZA DUNIANI KAMA HUYU
Tags
Kitaifa