Mbunge wa jimbo la Arumelu Joshua Nassari asema maisha yake yapo hatarini kuna watu wana mtafuta
kupitia ukurasa wake wa Facebook mbunge huyo amesema watu ambao aliwataja kwenye sakata la utoaji rushwa kwa madiwani chadema wanamtishia na wana mfanya kuwa katika hali ya hatari
mbunge huyo na mwenzake wa Arusga mjini Godbless lema wali wasilisha uchunguzi wao ambapo baadhi ya viongozi wa ccm walionekana wakipanga njama za ku nunua na kuwapa rushwa madiwani wa chadema mkoani arusha
wabunge hao wamesha washilisha ushahidi wao wa video kwa TAKUKURU na wanasubili TAKUKURU wafanye kazi yao
kupitia ukurasa wake wa Facebook mbunge huyo amesema watu ambao aliwataja kwenye sakata la utoaji rushwa kwa madiwani chadema wanamtishia na wana mfanya kuwa katika hali ya hatari
mbunge huyo na mwenzake wa Arusga mjini Godbless lema wali wasilisha uchunguzi wao ambapo baadhi ya viongozi wa ccm walionekana wakipanga njama za ku nunua na kuwapa rushwa madiwani wa chadema mkoani arusha
wabunge hao wamesha washilisha ushahidi wao wa video kwa TAKUKURU na wanasubili TAKUKURU wafanye kazi yao
Tags
Siasa