Nchini uganda kumelipotiwa kutokea kwa milipuko ya mabomu kwenye nyumba za wabunge wawili wa upinzani mapema jumanne
katika matukio hayo vitu vinavo aminika kuwa ni mabomu ya kutupa kwa mkono yamelipua nyumba za wabunge wawili wa upinzani akiwemo msanii Bob wine
pia mapema.wiki iliyopita mbunge mwingine wa upinzani aliye fahamika kwa jina la Moses kasibanda pia nyumba yake ili pigwa bomu
kupitia mahojiano na msanii huyo.bob wine amesema mlipuko umetokea nyumbani pake na kuharibu baadhi ya vitu lakini hakuna aliye fariki ama kujeruhiwa
pia ameenda mbali na kusema amekuw akipokea vitisho vya kuuawa karibu kila siku kutoka kwa watu wasio fahamika
nyumba zilizo chomwa kwa bomu ni nyumba za wabunge ambao miongoni mwao ni wale walio timuliwa bungeni
mapema majuzi serikali nchini uganda ipiga marufuku kufanya mahojiano ya kimuziki na msaniii bob wine wakimtuhumu kuwa ni kinara wa fujo na pia nyimbo zake ni marufuku kwenye radio na TV
katika matukio hayo vitu vinavo aminika kuwa ni mabomu ya kutupa kwa mkono yamelipua nyumba za wabunge wawili wa upinzani akiwemo msanii Bob wine
pia mapema.wiki iliyopita mbunge mwingine wa upinzani aliye fahamika kwa jina la Moses kasibanda pia nyumba yake ili pigwa bomu
kupitia mahojiano na msanii huyo.bob wine amesema mlipuko umetokea nyumbani pake na kuharibu baadhi ya vitu lakini hakuna aliye fariki ama kujeruhiwa
pia ameenda mbali na kusema amekuw akipokea vitisho vya kuuawa karibu kila siku kutoka kwa watu wasio fahamika
nyumba zilizo chomwa kwa bomu ni nyumba za wabunge ambao miongoni mwao ni wale walio timuliwa bungeni
mapema majuzi serikali nchini uganda ipiga marufuku kufanya mahojiano ya kimuziki na msaniii bob wine wakimtuhumu kuwa ni kinara wa fujo na pia nyimbo zake ni marufuku kwenye radio na TV
Tags
Kimataifa