
Wananchi wa kimara stop over wawafukuza wafanyakazi wa TANESCO ambao walikuwa wakikata umeme kwenye nyumba zinazo bomolewa
hatua ya kuwafukuza imechukuliwa kama ni hasira baada ya wananchi hao kulazimishwa kubomoa nyumba zao kupisha upanuzi wa reli
nyumba nyingi maeneo ya kimara wametakiwa kubomoa nyumba zao wenyewe kabla ya serikali kuja kubomoa na huenda watapoteza mari zao
hatua ya upanuzi wa reli umesababisha watu wengi kubaki bila makazi baada ya nyumba zao kubomolewa kupisha upanuzi wa reli huku sheria ikiwa inawaacha watu njia panda kuhusu mita za kukaa kutoka ilipo leli
Tags
Kitaifa