Polisi wa kituo kimoja cha polisi nchini ureno wapandishwa mahakamani
polisi hao wanashitakiwa kwakosa la unyanyasaji na ubaguzi wa rangi dhidi ya watu weusi walikuja hapo kituoni
kuna vijana wawili walikuja katika kituo cha polisi na walimuulizia mwenzao ambae alikuwa amekamatwa lakini polisi hao waliwakamata na wao pia na kuwatesa pasipo kuwa na kosa lolote
vijana hao waamiaji kutoka cape verde wanaishi lizbon walifanyiwa unyama huo ndani ya siku mbili mfululizo na hatimae baadae kuachiwa lakini baadae ndiyo ikaja kugundulika kuwa walifanyia ukatili pamoja na ubaguzi wa rangi ambao umekithiri nchini ureno
polisi hao wanashitakiwa kwakosa la unyanyasaji na ubaguzi wa rangi dhidi ya watu weusi walikuja hapo kituoni
kuna vijana wawili walikuja katika kituo cha polisi na walimuulizia mwenzao ambae alikuwa amekamatwa lakini polisi hao waliwakamata na wao pia na kuwatesa pasipo kuwa na kosa lolote
vijana hao waamiaji kutoka cape verde wanaishi lizbon walifanyiwa unyama huo ndani ya siku mbili mfululizo na hatimae baadae kuachiwa lakini baadae ndiyo ikaja kugundulika kuwa walifanyia ukatili pamoja na ubaguzi wa rangi ambao umekithiri nchini ureno
Tags
Kimataifa
