
Polisi mmoja nchini CANADA katika mji wa TORONTO amlipia pesa mwizi ambae alikuwa akijaribu kuiba dukani
kijana wa miaka.18 alikutwa amejaribu kuiba nguo suruali soksi na shati katika duka moja nchini canada
polisi aliye pigiwa simu kuja kumkamata akaamua kumuuliza kwanini anaiba akajibu anataka kwenda kwenye usahiri wa ajira
baada ya kujieleza hivyo polisi huyo akaamua kumlipia ili aende kwenye usahili wa ajira
kijana huyo alisema hakuwa mwizi aliiba kwakuwa hakuwa na pesa ya kununulia nguo ambazo angezivaa kwenye usahili
Tags
Kimataifa