
Ikiwa imebakia siku moja kupigwa kura nchini kenya hapo jana mlipuko mkubwa ulitokea
mlipuko huo mkubwa ulitokea kwenye kisiwa cha Lamu nchini kenya ambapo ulilipua mtambo mkubwa wa umeme hatua iliyo pelekea kukosekana kwa umeme
mpaka sasa hakuna kikundi kilicho kili kuhusika na shambulio hilo ambalo linaaminika ni la kifagaidi
raia wakenya wanatarajiwa kupiga kura kumchagua raisi na wabunge nchini humo huku mchuano mkari ukiwa ni kati ya Raila odinga na.Uhuru ksnyata
Tags
Kimataifa