
Katika hekaheka ya Clouds FM leo ilikuwa bagamoyo ambapo mganga wa kienyeji atuhumiwa kumbaka mtoto
mtoto mmoja wa darasa la sita aliwaambia walimu wake kuwa kuna mganga huwa anacheza nae kamchezo lakini umuumiza sana
baada ya kusikia ivyo walimu wamtaarifu mama wa mtoto huyo na walipo mpima hospitali wakabaini kuwa amebakwa
inasadikika kuwa ni mchezo wa muda mlefu wa mganga huyo kumfanyia mchezo mbaya mtoto huyo wa dalasa la sita
Tags
Kitaifa