SITAKUSAHAU ANGEL....PART ONE

Admin
By -
1 minute read
0
Mtunzi:Steve christian
"Sitakusahau Angel"
+255713861567

Steve ni kijana mzaliwa wa mkoa wa Ruvuma nchini Tanzania ambae ni Mtoto wa pili kati ya watoto watatu kwenye familia yako


Kijana Steven alikuwa na ndoto  ya muda mrefu Siku moja afanikiwe au na yeye aweze kuishi nchini za ulaya maana ndiyo nlikuwa ndogo take kubwa ambayo alitamani Siku moja aweze kuitimiza

Akiwa shule ya msingi alikuwa na rafiki take aitwaye john ambae walikuwa na mipango ifananayo ya kwenda kuishi na kufanyajazi nchini za ulaya wakiamini ndiko kwenye maisha mazuli na yenye furaha


Baada ya kuhitimu kidato cha nne  matokeo hayakuwa mazuri saana kwa upande wa Steven maana hakufanikiwa kujiunga na kidato cha tano kutokana na kupata ufauru wa kiwango cha chini

Baada ya kushindwa kujiunga na kidato cha tano kijana Steve aliamua kujifunza ufundi wa magari kwenye garage ya mjomba wake ambaye ilikuwa ikipatikana mjini songea ambapo alijifunza hapo kuanzia mwaka 2013 mpaka mwaka 2015 ambapo alihitimu na kuwa fundi  ambae anaweza kufungua hata garage yake binafsi lakini muda huo  wote  akiwa bado na ndoto  ya kufika barani ulaya.....



"INAENDELEA....
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)
Today | 19, March 2025