injini ya ndege yaharibika ndege ikiwa angani

Admin
By -
0 minute read
0
ndege moja ya kampuni ya Airfrance injini yake ilihalibika  huku ndege ikiwa angani

ndege hiyo ya aina ya Airbus 380 ilikuwa na abilia wapatao 500 ikisafiri kutoka mjini paris kuelekea mjini los angelos nchini marekani

baada ya kupata tatizo hilo ndege hiyo ili lazimika kutua kwa dharula kwenye uwanja wa kijeshi wa Goose bay nchini Canada

kwa mujibu wa taarifa hakuna aliye pata tatizo miongoni mwa abilia walio kuwepo kwenye ndege hiyo


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)
Today | 14, March 2025