ndege ya jeshi yaanguka na kuua wanajeshi 10

Admin
By -
0 minute read
0
ndege ya jeshi la DRC imeanguka na kukadiliwa kuuwa wanajeshi kumi walio kuwemo ndani ya ndege

ndege hiyo ya jeshi ili pata matatizo wakati ikipaa kwenye uwanja mmoja wa ndege jijini kinshasa

kwa mujibu wa maelezo ya jeshi ndege hiyo ilibeba wanajeshi na mizigo na wakati ikipaa ili shindwa kupaa vizuri

hakuna manusura aliye salimika kutoka ndani ya ndege hiyo na wala haluna taarifa za kuuawa au kujeruhiwa watu wachini kwakuwa ndege hiyo iliangula kwenye makazi ya watu
Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)
Today | 15, March 2025