JESHI LATAADHALISHA JUU YA UTAPELI

Admin
By -
0

Jeshi la wananchi JWTZ limewataadharisha wananchi juu ya utapeli unao endelea

akiongea na wana habari meja jenarali Harisson masebo alisema kumekuwa na vikundi vya watu wanao watapeli watu mitaani

amesema wapo watu wanao wadanganya watu kuwapa nafasi za kujiunga na jeshi na huwachukulia pesa zao na badae kutokomea

meja amesema hakuna nafsi zozote za kujiunga na jeshi kwa sasa zilizo tangazwa hivyo basi wananchi wasirubuniwe na matapeli

amesema jeshi litakapo itaji kuajili litatoa taarifa kamili kupitia vyombo vyake na watatoa taarifa kwa uma kila mmoja atasikia

pia amesisitiza jeshi haliajili kihorela vyombo vyote vya ulinzi huchukuwa vijana.JKT na sio mtaani kama watu wanavyo rubuniwa

pia jeshi limesema linaitaji ushilikiano na raia kuwabaini waharifu hao ili wawachukulie atua za kisheria


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)