BET KUMPA TUZO YA HESHIMA YVONE CHAKACHAKA

Admin
By -
0 minute read
0

Waandaaji wa tuzo za muziki nchini marekani zijulikanazo kama.BET award watangaza kumpa tuzo YVONE CHAKACHAKA

waandaaji hao wametangaza kumpa tuzo hiyo ya heshima kutokana na mambo makubwa aliyo yafanya katika mziki wa afrika na duniani kwa ujumla

mwenyewe amesema amepokea taarifa hizo kwashangao kwakuwa hakutarajia kupewa heshima hiyo kutoka kwa waandaaji hao wa kubwa wa tuzo duniani

kwa sasa mwanamziki huyo yupo kimya akiandaa album yake mpya ambayo haijatajwa jina lake

mwanamuziki huyo alisumbua saana miaka ya tisini nakufanikiwa kuchukuwa tuzo nyingi zikiwemo pia tuzo za BET pia


Tags:

Post a Comment

0Comments

Post a Comment (0)