Mwana mitindo na video queen Hamissa mobeto amemfungulia kesi msanii Diamond platnumz
hamissa amefungua kesi kwenye mahakama ya kisutu dar es salaam akimtuhumu mzazi mwenzake diamind kuto hudumia mtoto na kukataa kumwomba msamaha
mobeto amefungua kesi hiyo akimtuhumu msanii diamond kuto toa huduma kwa mtoto walio zaa kwa kipindi cha miezi miwili
mobeto amesema kwa miezi miwili msanii huyo hajatoa huduma yoyote kwa mtoto wake japo kuwa amekuwa akisema ana muhudumia
baada ya kufungua kesi hiyo diamond kapewa taarifa na kesi itasomwa oktoba 25 mwezi huu mahakama ya kisutu
hamissa amefungua kesi kwenye mahakama ya kisutu dar es salaam akimtuhumu mzazi mwenzake diamind kuto hudumia mtoto na kukataa kumwomba msamaha
mobeto amefungua kesi hiyo akimtuhumu msanii diamond kuto toa huduma kwa mtoto walio zaa kwa kipindi cha miezi miwili
mobeto amesema kwa miezi miwili msanii huyo hajatoa huduma yoyote kwa mtoto wake japo kuwa amekuwa akisema ana muhudumia
baada ya kufungua kesi hiyo diamond kapewa taarifa na kesi itasomwa oktoba 25 mwezi huu mahakama ya kisutu
Tags
burudani