Rais John pombe magufuri amesema yeye ni raisi na anajua siri nyingi kuhusu nchi na anajua kile anacho kifanya
baadhi ya watu wamekuwa wakimpinga hususani wale waliokuwa wapiga deal ndiyo wanaongoza kumchukia
raisi amesema akipendwa na mke wake inatosha hakuna haja ya kupendwa na mtu mwingine kwakuwa yeye amejipanga kuwa tumikia watanzania na siyo wapiga dili ambao wana.lalamika
amesema wakati anaingia amekuta nchi imeoza kila kona sasa yeye anapambana kuinyosha ili mambo yaende.sawa
pia raisi amemwagia sifa mkuu wa mkoa wa dar es salaam Paul maoonda ambapo alisema alipo anza vita yaadawa ya kulevya wakaanza kumwambia kuwa hana vyeti ili wampunguze nguvu
amesema kama makonda anakamata madawa ya kulevya kwake makonda ni msomi mkubwa kwake
amemtaka makonda afanye kazi na asisikilize maneno ya udaku kwakuwa yeye ni kiongozi mzuri
"na mwona jinsi anavyo angaika kuleta maendeleo huyu ni mfano wa kuigwa na wakuu wengine wa mikoa wamuige huyu kijana ambae amekusanya zaidi ya milion miamoja na themanini"
baadhi ya watu wamekuwa wakimpinga hususani wale waliokuwa wapiga deal ndiyo wanaongoza kumchukia
raisi amesema akipendwa na mke wake inatosha hakuna haja ya kupendwa na mtu mwingine kwakuwa yeye amejipanga kuwa tumikia watanzania na siyo wapiga dili ambao wana.lalamika
amesema wakati anaingia amekuta nchi imeoza kila kona sasa yeye anapambana kuinyosha ili mambo yaende.sawa
pia raisi amemwagia sifa mkuu wa mkoa wa dar es salaam Paul maoonda ambapo alisema alipo anza vita yaadawa ya kulevya wakaanza kumwambia kuwa hana vyeti ili wampunguze nguvu
amesema kama makonda anakamata madawa ya kulevya kwake makonda ni msomi mkubwa kwake
amemtaka makonda afanye kazi na asisikilize maneno ya udaku kwakuwa yeye ni kiongozi mzuri
"na mwona jinsi anavyo angaika kuleta maendeleo huyu ni mfano wa kuigwa na wakuu wengine wa mikoa wamuige huyu kijana ambae amekusanya zaidi ya milion miamoja na themanini"
Tags
Kitaifa