WEZI WA NYWELE WAKAMATWA INDIA



Nchini India kulikuwa na visa vya baadhi ya wanawake kuibiwa nywele zao  na watu wasio wafahamu

mwanamke pichani alimulikwa na mwanga mkari usoni na alipo zinduka akajikuta amekatwa nywele zake huku asijue wapi wanapeleka nywele hizo

baada ya matukio kuwa mengi polisi wakafanya msako na kufanikiwa kuwakamata wezi wa nywele na walipoojiwa wakajibu kuwa huwa wanaziuza kwa   watu ili watengenezee mawigi

visa vya kuibiwa nywele vimekuwa vingi nchini india wanawake wengi ujikuta wamekatwa nywele zao hali iliyo watia hofu wanawake wengi


Post a Comment

Previous Post Next Post