Zikiwa zimebskia siku mbili kufanyika uchaguzi nchini kenya hatimae lowasa nae apanda jukwaani kumwimbea kura Uhuru kenyata
lowasa alipanda jukwaani na kuwaomba wakenya wampigie kura Kebyata kwakuwa ni kiongozi mzuri.kwa maendeleo ya kenya
pia Lowasa amesema sababu kubwa ya yeye na Chadema kumsapoti.Kenyata ni kwasababu kenyata ni kiongozi shupavu na mpenda demokrasia ya keeli
Uhuru anachuana vikari na mgombea anae ungwa mkono na baadhi ya vyama vya upinzani vinavyojiita.NASA kata kiti cha uraisi huku wapinzani wakiwa wamemsimamisha Raila.Odinga.
katika uchaguzi uliopita Odinga aligombea na alishindwa dhidi ya kenyatta na sasa ameamua kujarubu kwa mara nyingine
lowasa alipanda jukwaani na kuwaomba wakenya wampigie kura Kebyata kwakuwa ni kiongozi mzuri.kwa maendeleo ya kenya
pia Lowasa amesema sababu kubwa ya yeye na Chadema kumsapoti.Kenyata ni kwasababu kenyata ni kiongozi shupavu na mpenda demokrasia ya keeli
Uhuru anachuana vikari na mgombea anae ungwa mkono na baadhi ya vyama vya upinzani vinavyojiita.NASA kata kiti cha uraisi huku wapinzani wakiwa wamemsimamisha Raila.Odinga.
katika uchaguzi uliopita Odinga aligombea na alishindwa dhidi ya kenyatta na sasa ameamua kujarubu kwa mara nyingine
Tags
Siasa
