SERIKALI YASEMA HAITAMBUI UJIO WA NDEGE YA GWAJIMA



Mamlaka ya anga nchini Tanzania TCAA imesema haitambui ujio wa ndege ya gwajima ambayo amesema amenunua

mchungaji Gwajima ametangaza kununua ndege aina ya Gulfstream N60983 ambayo ameinunua kwa shilingi bilioni 2.64

amesema ameijaribu hiyo ndege na kujirizisha kuwa inafaa kwa matumizi ya kueneza neno la mungu

mamlaka ya anga imesema kwa kawaida lazima mamlaka itambue kuusu ndege zote zinazokuja nchini na lazima wazikague na wajilizishe lakini mamlaka ya anga nchini haina taarifa

mamlaka hiyo imesema kama amenunua itabidi wailete waikague wakijilizisha watairuhusu itumike


Post a Comment

Previous Post Next Post