
Mwizi mmoja atoa kali ya mwaka baada ya kukutwa amelewa ndani ya nyumba aliyo enda kuiba
mwanaume mmoja wa miaka 36 alivunja nyumba na kuingia ndani kwa nia
ya kwenda kuiba lakini alipo kuta pombe aina ya Champaing akaamua kunywa na hatimae kulewa
mwenye nyumba alipo rudi akamkuta mwizi huyo amelala kitandani akiwa chakari na pombe
ndipo mwenye nyumba akapiga simu polisi na wakaja kumkamata kiulaini akiwa amelewa hajitambui magharibi mwa Australia
Tags
Entertaiment