
Man United imekamilisha usajili wa Nemanja Matic kutoka chelsea kwa mkataba wa miaka mitatu
matic ameenda man united kwa kitita cha paun milion 40 mapema leo akitokea timu ya chelsea
Matic ni mchezaji wa tatu kusajiliwa na Man United msimu huu wa kukaribia kuanza kwa ligi kuu
Matic amesema anafuraha kujiunga na timu hii mpya katika kipindi hiki cha kusisimua barani ulaya
Tags
Michezo