
Mbunge wa chadema jimbo la Mbozi Pascal Haonga akamatwa na polisi mapema leo
mbunge huyo amekamatwa na kuhojiwa na polisi mkoani Mbeya huku kisa cha kukamatwa kikiwa hakijajulikana mpaka sasa
mbunge huyo amekamatwa kwenye mji wa Mlowa mkoani Mbeya na kupelekwa polisi ambapo.mkuu wa polisi alipoulizwa hakuwa tayari kunijibia.
Tags
Kitaifa