MARUBANI WAWILI WAFUKUZWA KAZI BAADA YA KUMLUHUSU MTOTO KUENDESHA NDEGE YA ABIRIA



Marubani wawili wafukuzwa kazi baada ya kumluhusu mtoto mdogo kuendesha ndege ya abiria

katika video iliyo chapishwa inaonesha mtoto mdogo akiwa kwenye  chumba cha kuongozea ndege akibonyeza vitufe

mtoto huyo akiwa na sare za marubani alionekana akieendesha ndege huku ndege hiyo ikiaminika kuwa na abiria

marubani hao wamefukuzwa kazi kwakuwa wamevunja taratibu za usafirishaji na wanafanyiwa uchunguzi


Post a Comment

Previous Post Next Post