LIVE:RAILA ODINGA APINGA MATOKEO KENYA



Huku matokeo ya uraisi yakizidi kutangazwa mgombea wa upinzani Raila.Odinga apinga matokeo

odinga amesema hayatambui matokeo yanayo tangazwa kwenye tivuti ya tume ya uchaguzi kuwa hayajafuata taratibu

amesema ilitakiwa maajenti wao wapewe fomy kabla ta kutangaza matokeo ili kujilizisha na yanayo tangazwa

mpaka sasa Uhuru kenyata anaongoza dhidi ya mpinzani wake wa kalibu Odinga


Post a Comment

Previous Post Next Post