WAGOMBEA WA CCM WAKIMBIA KUCHUKUA FOMU KIBITI



Kufuatia kutokea kwa mauaji wilayani kibiti wanachama wa ccm wakataa kuchukua fomu za kugombea uongozi

wilayani kibiti wanachama wanaogopa kuchukua form wakihofia mauaji yanayo endelea kibiti

wanachama hao wameiomba ccm wilaya kusogeza mbele uchaguzi kwakuwa saivi hali ya amani ni ndogo hivyo wameomba wasitishe mpaka amani itakapo tenga maa

kumekuwa na taarifa za mauaji ya mara kwa mara yakiwalenga viongozi wa ccm wilayani kibiti hatua iliyo zidisha hofu


Post a Comment

Previous Post Next Post