DIWANI WA CHADEMA HATIANI KWA RUSHWA



Diwani wa kata ya msigani ubungo da es salaam Israel mushi miala.48 na mrasimu ramani wa manispaa ya ubungo Mwanjela Peter miaka 28 wana shikiliwa na TAKUKURU kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya shilingi 5000000

mkuu wa TAKUKURU kinondoni Teddy amesema watuhumiwa hao walipokea kiasi hicho cha fedha kutoka kwa mtu mmoja jina limehifadhiwa na walitarajia kupokea kiasi kingine cha shilingi 10000000 kutoka kwa huyo mtu

walipokea pesa hizo ili wakafanye ushawishi kwenye kamati ya wajumbe wa nao husika katika kubadiri michoro na kutoa vibali vya ujenzi katika manispaa ya ubungo

uchunguzi bado unaendelea na utakapo kamikika watapandishwa kizimbani kujibu mashtaka yao


Post a Comment

Previous Post Next Post