Mapema leo kumetokea ajari ya ndege ambayo imechukua uhai wa watu kumi na sita
ajari hiyo iliyo husisha ndege ya jeshi la marekani ilianguka kusibi mwa mji wa misisipi nchini marekani nakuua watu wote waliokuwepo kwenye ndege hiyo
mpaka sasa chanzo cha ajari akija julikana ambapo ndege hiyo iliangukia katika shamba moja katika mji wa misisipi nchini marekani
ajari hiyo iliyo husisha ndege ya jeshi la marekani ilianguka kusibi mwa mji wa misisipi nchini marekani nakuua watu wote waliokuwepo kwenye ndege hiyo
mpaka sasa chanzo cha ajari akija julikana ambapo ndege hiyo iliangukia katika shamba moja katika mji wa misisipi nchini marekani
Tags
Kimataifa


