UKAWA WAMKATAA LIPUMBA



umoja wa katiba ya wananchi ukawa wajipanga kumtimua pr lipumba kwa kile walichokiita kuwa msaliti

Ukawa wamekuja na operation waliyoiita ondoa msaliti inayo mlenga kumwondoa lipumba kutoka CUF

wamesema CUF haina mgogoro wa kisiasa bali tatizo ni lipumba ambae wana mtuhumu kutumiwa na ccm kuhujumu chama chao

akiongea na wanahabari mbunge wa ubungo Saidi kubenea alisema wamekaa chini pamoja na CUF na wamekubaliana wamwondoe lipumba kwakuwa yeye ndiyo kikwazo na anatumwa na ccm kuhujumu upinzani nchini tanzania

Ukawa wamesema wameanzisha kampeni hiyo mahususi kwaajili ya kumng'oa lipumba ambe anatambulika kwa msajiri wa vyama vya siasa  huku CUF wakiwa wanamkataa


Post a Comment

Previous Post Next Post