
Mchezaji aliyekuwa akicheza katika michuano ya ndondo cup aitwa timu ya taifa
mchezaji huyo Kelvin sabato ambae anachezea majimaji ya mjini songea alionesha kiwango kizuli katika ligi hiyo ndyo maana ameitwa
mchezaji huyo ameitwa baada ya timu ya taifa kurudi kutoka afrika ya kusi ilikokuwa ikishiliki michuano ya COSAFA
Mcheaji huyo alishawai kukataa kujiunga na simba akitokea stand united na akajiunga na majimaji ya songea
akiongea na Swahiba blog alisema amefurai kuitwa timu ya taifa na ilikuwa ndoto yake kubwa tangu zamani kucheza timu ya taifa
Tags
Michezo