WYNE ROONEY KUJA TANZANIA



klabu ya Everton ya uingereza imemalizana na man united kumsajili mchezaji Wayne rooney

Wayne rooney alihama everton na kujiunga na man united miaka kumi iliyipita lakini sasa imemludisha tena nyumbani

mchezaji huyo ameenda kwa usajili huru akitokea manchester united.alikocheza kwa miaka kumi na kupata mafanikio makubwa

kwakuwa everton itafika tanzania kucheza katika mechi iliyo andaliwa na mzamini wake ambae ni Sportpesa huenda na rooney nae akawa moja ya wachezaji watakao fika tanzania

everton inazaminiwa na sportpesa ambayo ni kampuni ya michezo ya kubahatisha kwenye mpira yenye makao makuu nchini kenya


Post a Comment

Previous Post Next Post