JJPM:HEADMASTER ATAKAE MRUDISHA SHULE ALIYEPATA MIMBA ATAFUKUZWA KAZI

JPM akiwa wilayani Sengerema raisi ametoa onyo wa mkuu wa shule atakae mrudisha shule mwanafunzi aliyepata mimba mwalimu huyo atapiteza kazi yake

raisi aliyasema hayo leo akiwa sengerema akiwataka wakuu wa shule kuto warudisha wanafunzi waliopata ujauzito shuleni

pia alisema kuna baadhi ya NG'OS zina lalamika kuhusu hawa watu basi kama wana wapenda wawajengee shule zao wao ili wawasaidie

pia amesema elimu bure haijajipanga kumsomesha mzazi bari mwanafunzi hiivyo basi haita mruhusu aliye zaa kurudi shuleni kwakuwa atakuwa.mzazi huyo

pia raisi amewajibu wanao simamia kigezo cha kubakwa alisema wanafunzi wengine walishikwa wanajiuza coco alafu  utasema wamebakwa? Hawa hawatakiwi kurudi shule tena ili iwe fundisho


Post a Comment

Previous Post Next Post