AHUKUMIWA MIAKA KUMI JELA BAADA YA KUDANGANYWA KABAKWA NA WANAUME WEUSI



Binti wa miaka 19 pichani ahukumiwa kwenda jela miaka kumi baada ya kudanganya amebakwa na wanaume watatu weusi

binti huyo mkazi wa mji wa texas nchini marekani alikimbilia kanisani huku akiwa mtupu na akitoka damu na alipo ulizwa akasema amebakwa na wanaume wawili huku mmoja akimshikilia

baada ya kutokea tukio hilo polisi walimpeleka kumpima na kubaini kuwa hajabakwa na alipo hojiwa akasema ni kweli alidanganya

wakili wa serikali alisema binti huyo anastahili adhabu zaidi kwakuwa amedanganya na udanganyifu wake ungeweza kuleta madhara katika jamii


Post a Comment

Previous Post Next Post