NCHEMBA AMJIA JUU LEMA

Waziri wa mambo ya ndani mh Mwigulu nchemba amjia juu.mh gidbless lema kufuatia kauli ya kubiti

nchemba ampa onyo lema kufuatia kauli yake aliyosema "wabunge wanaogoa kujadili kuhusu kibiti wakihofia jamaa kuamia kwao" kauli hii ilimkela nchemba kupita kiasi

nchemba alisema swala la kibiti si swala la utani kama alivyosema lema kiraisi namna hiyo na siku ikawa hivyo itabidi kuwe na maelezo ya kutosha zaidi

mpaka sasa mkoani pwali walayani kibiti watu 37 wamesha fariki huku 13 wakiwa polisi ambao walishambuliwa na gari lao kuchomwa moto siku waliyo uawa trafki wawili

mpaka sasa wauaji hawajatoa sababu yao kuu ya kufanya mauaji hayo ukizingatia  baada ya mauaji watu hawa huwa hawa chukui kitu chochote

kufuatia mauaji hayo wananchi wengi walayani kibiti wamelazimika kuhama kunusuru roho zao kwa kuwa hawajajua ninani hasa anaelengwa na wauaji hao


Post a Comment

Previous Post Next Post