taarifa kutoka misri zinasema waumini wa dhehebu la coptic zaidi ya 25 wameuawa misri huku zaidi ya 26 wakijeruiwa
tukio hilo limetokea kusini mwa cairo ambapo msafara wa waumini hao ulisimamishwa na watu walio valia sare za jeshi na ghafla wakaanza kushambulia basi kwa risasi
kwa mujibu wa mashuhuda miongoni mwa walio fariki ni pamoja na watoto
nchini misri kuvamiwa kwa wa coptic ni matukio ya mara kwa mara ambapo miezi kadhaa iliyopita walishambuliwa kanisani
tukio hilo limetokea kusini mwa cairo ambapo msafara wa waumini hao ulisimamishwa na watu walio valia sare za jeshi na ghafla wakaanza kushambulia basi kwa risasi
kwa mujibu wa mashuhuda miongoni mwa walio fariki ni pamoja na watoto
nchini misri kuvamiwa kwa wa coptic ni matukio ya mara kwa mara ambapo miezi kadhaa iliyopita walishambuliwa kanisani
Tags
Kimataifa
