katika hali isiyo ya kawaida mtoto mchanga akutwa ametupwa katika daraja la mabatini songea mjini
mtoto huyo ambae ni mchanga amekutwa amekufa baada ya kutupwa na mama yake
mpaka sasa hajajulikana mama wa mtoto huyo ambae alimtupa na kutoweka
mtoto huyo ambae ni mchanga amekutwa amekufa baada ya kutupwa na mama yake
mpaka sasa hajajulikana mama wa mtoto huyo ambae alimtupa na kutoweka
Tags
Kitaifa
