roon amesema anafikilia kurudi everton kma atabakia uingereza
roon ambae hachezi sana ktk kikosi cha manchester united hasa kwa msimu huu amesema anafikilia kuondoka
amesema kuna ofa nyingi ughaibuni kwenda kucheza huko ila kma atabakia sehemu nzuri kwake ni everton
wyne rooney amekulia everton kabla ya kwenda manchester united tangu akiwa mtoto na atafurai endapo atarudi tena klabuni hapo
roon ambae hachezi sana ktk kikosi cha manchester united hasa kwa msimu huu amesema anafikilia kuondoka
amesema kuna ofa nyingi ughaibuni kwenda kucheza huko ila kma atabakia sehemu nzuri kwake ni everton
wyne rooney amekulia everton kabla ya kwenda manchester united tangu akiwa mtoto na atafurai endapo atarudi tena klabuni hapo
Tags
Michezo
