wakamatwa kwa kuuzuria sherehe ya mashoga

indonosia watu zaidi ya 200 wakamatwa baada ya kuhudhuria sherehe ya watu wa mapenzi ya jinsia moja nchini indonesia

watu hao ambao walilipa kiingirio cha zaidi ya dolla14 walikamatwa na kupelekwa polisi ambapo wanakabiliwa na mashtaka

mkuu wa polisi amesema miongoni mwa walio.kamatwa ni pamoja na raia mmoja wa uingereza ambae inaaminika ni muhamasishaji wa mambo hayo ambae ni kama mwandaaji wa tukio hilo

nchini indonesia mapenzi ya jinsia moja ni kosa kisheria na mtuhumiwa huandamwa na adhabu kari ili kuwa fundisho kwa wengine


Post a Comment

Previous Post Next Post