sumaye ajiuzuru ujumbe wa bodi.CRDB

waziri mkuu mstaafu mh fedrik sumae amejiuzuru ujumbe wa bodi ya CRDB ambayo aliitumikia kma mjumbe kwa kipindi kirefu

sumae amesema ameamua kujiuzuru ili kupunguza majukumu na kujikita zaidi katika majukumu ya kichama

sumae ambae aliihama ccm na kujiunga na chadema amekuwa na majukumu.mengi ndyo maana ameamua kuyapunguza amesema


Post a Comment

Previous Post Next Post